Nina MaSwali kwako Dokta slaa

Nina MaSwali kwako Dokta slaa

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,361
Reaction score
6,080
Dk nimekusikiliza leo Star tv ukifafanua ulihcokisemaawali ambapo hata mie sikuweza kukisikia:

Asante Dokta kwa kukiri kua Ulishirikiana na mwakyembe, na Hii ni baada ya watu kukueleza kua walikuona Uko naye pale Serana, pengine usingetaja. Nina maswali hapa...

Kwanini umefanya thesis yako ya kupekua taarifa za Lowasa kwa kushirikiana na Mwakyembe wakati huu wa UCHAGUZI na sio kabla ya hapo wakati unajua Richmond ilishapita siku nyingi? Kitu gani Mlikua hamkijui kuhusu lowasa?

kwanini ukiwa kama Katibu MKUU mlikurupuka kumleta LOwasa Ndani ya chadema, angali walishakuteua february kua Mgombea uliwaza nini hata ukaafiki,msimamo wako ulikuaje hapo? na hapo hapo unakiri kua inakuuma kwa kiasi fulani kutemwa kwenye kugombea Urais?
Vipi kuhusu reasearch mliyofanya kuhusu kumleta lowasa ingewapa ushindi, kuna ukweli hapa? je Ushindi hauutaki?

Mwakyembe kipindi hiki cha Uchaguzi? Kwanini Umeenda Na Mwakyembe Hotelini TEna kwa SIRI? Alikuja kusaidia nini Hotelini ambacho hangeweza kukusaidia kabla ya mkutano wako na waandishi?

je Swala la wewe kutupia mabegi halina uhusiano wowote na Lowasa?

Je kwa maana hiyo unataka kuwashauri wapenda mabadiliko waendelee kuichagua CCM kwasababu mgombea wake japo ni fisadi lakini ametaja ufisadi katika hotuba zake????
Je Richmond ndio kilakitu , vipi kuhusu Escrow, Epa, nk,katiba mpya ya warioba yenye kutaja maadili??
Je tukichagua CCM ndio Ufisadi utaisha?
Tunafahamu JK ni kiongozi mwadilifu lakini ndani ya CCM ufisadi umekuwepo ukizungumzwa kwenye uongozi wake wa miaka kumi. JE tukimchagua Magufuli ambaye ana kaufisadi kidogo pengine kuliko Lowasa kwa mujibu wa mtazamo wako na maoni yako je, ndio Ufisadi utamalizika?
 
Jamani kukatwa kunaumaa.... Babu kafura mbaya...
Kakiri tuhuma za makufuli kuwauzia wapenzi vimada Nyumba za serik....
 
Slaa anajiabisha sana!!

Ndio maana ameshindwa kuijenga chadema inayoishi kwa sera zaidi ya kusafiria kashfa na shutuma tu!!

Maisha yote ya Slaa CDM yalitegemea kashfa au uzushi kama publicity ya chama!!
 
  • Dokta tunafahamu kuwa dkt.mwakyembe ni sehemu ya timu maalumu ya CCM ya kusaka ushindi wa Dkt,magufuli kwenye URais, ..Na Dk Slaa umetumia vigezo gani kujiridhisha kupata Ukweli kupitia Documents alizokupa Dokta Mwakyembe kipindi hiki cha kampeni za Uchaguzi mkuu, ambapo Wakati Dokta mwakyembe akitumia muda wake kuhangaika kuhakikisha Dokta magufuli anashinda Urais kwa kura nyingi kupitia tiketi ya CCM, nawe Dokta Slaa kupitia Ukawa ukaenda ku-research kuhusu Lowasa - Kesi ya ngedere kapewa Chui, Dokta unauhakika hiyo thesis yako ukimpelekea profesa baregu na profesa safari na profesa kitila itapita kweli?:A S shade:
  • Dokta kwa mujibu wa viwango vyako, Je Dkt.Mwakyembe naye ni mwadilifu?


  • pia najiuliza Dokta unadhani kwanini CCm walikua wanampa lowasa nyadhifa mbalimbali ndani ya chama angali wanajua sio mwadilifu kulingana na documetnt na kikao cha mawaziri? ikiwemo nafasi ya kutangaza nia ya urais?


  • DOKTA bado HAJAJIBU swali kuhusu ulipopata HELA za KUANDAA MKUTANO SERENA,japo ulisema uliwahi kukaa marekani mwezi na sio chadema walikulipia.. NA JE tukisema MWakyembe amekuwezesha kulipia garama za Mkutano wa Serean tutakua tumekosea?
  • Dokta utakua uMEJIRIDHISHA VYA KUTOSHA NAFSINI MWAKo NA mbele za mungu wake KUA ndani ya CCM HAKUKUA NA KUPIGA HELA WAKATI wowote ule WA UCHAGUZI WA NDANI, PIA HAKUKUA NA KUBEBA WATU KWENYE MAGARI YA CCM kwenye ufunguzi wao, pia MCHAKATO WAkupata wagombea ndani ya CCM umekwenda KIUADILIFU NDANI YA CCM.
  • Dokta hiyo thesis yako mbona haijatoa solution/way foward, ya nani watanzania wanapaswa kumchagua kipindi hiki cha iaka mitano inayoanza?unapojua kukosoa, Jua na kuOnyesha NJia vilevile

NAANZA KUAMINI KWA.. KUA DOKTA SIO STRATEGIC POLITICIAN. NI MWANASIASA TU JUST POTELEA MBALI...TUPIGE SIASA THEN TUKALALE...
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu na nyie kwa sababu uwezo wenu mdogo wa kufikiri anachokisema mbowe woote mnafuta,mmeona watu wenye akili wakina dk slaa na profesa lipumba hawa ni watu wanasimamia wanacho amini,kweli watu wananyimwa uwezo wa kufikiri lakini hata hili hamuwezi kushtuka,na bado uchaguzi ujao mtawekewa kingwendu ndo atakua mgombea uraisi wenu
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu na nyie kwa sababu uwezo wenu mdogo wa kufikiri anachokisema mbowe woote mnafuta,mmeona watu wenye akili wakina dk slaa na profesa lipumba hawa ni watu wanasimamia wanacho amini,kweli watu wananyimwa uwezo wa kufikiri lakini hata hili hamuwezi kushtuka,na bado uchaguzi ujao mtawekewa kingwendu ndo atakua mgombea uraisi wenu
Dk slaa alishiriki katika kumleta lowasa...How about that huh?
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu

kwahiyo umeumia nini? wewe tulia dawa inaingia taratibu utajua ni chama gani
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu na nyie kwa sababu uwezo wenu mdogo wa kufikiri anachokisema mbowe woote mnafuta,mmeona watu wenye akili wakina dk slaa na profesa lipumba hawa ni watu wanasimamia wanacho amini,kweli watu wananyimwa uwezo wa kufikiri lakini hata hili hamuwezi kushtuka,na bado uchaguzi ujao mtawekewa kingwendu ndo atakua mgombea uraisi wenu

Kwani kuna uadui wa kudumu ndg yangu?
Katika maisha yako, hakuna watu uliokorofishana nao sana kisha baadaye mkaja kuwa marafiki tena? Hayo ni maumbile tuliyopewa na Mungu ndio maana unalia sana unapopotelewa na ndugu wa karibu lakini baadaye unasahau na maisha ya kicheko yanaendelea.Hakika hakuna uadui wa kudumu.
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu na nyie kwa sababu uwezo wenu mdogo wa kufikiri anachokisema mbowe woote mnafuta,mmeona watu wenye akili wakina dk slaa na profesa lipumba hawa ni watu wanasimamia wanacho amini,kweli watu wananyimwa uwezo wa kufikiri lakini hata hili hamuwezi kushtuka,na bado uchaguzi ujao mtawekewa kingwendu ndo atakua mgombea uraisi wenu
wewe sio mjinfa kweli???
 
Kimsingi Watanzania wa leo HATUDANGANYIKI. Zaidi sana Mungu wa wanyonge ni mnyofu sana hatawaacha Watanzania mwaka huu-mwaka wa mabadiliko.

Ninawatia moyo Watanzania wote mkiwepo wana CCM mnaoumizwa na hali ya umaskini miongoni mwa wananchi wengi nchini kwetu msikate tamaa wala kuogopa kama akitokea kiongozi mwingine wa UKAWA akageuka wananchi kama Dr Slaa na Prof Lipumba kabla ya uchaguzi mkuu tarehe 25 Oktoba 2015 ninyi songeni mbele, mabadiliko yanawezekana.

(Courtesy of A. Nkya).
 
Hv nyie watu niwazima kweli ni chama gani duniani kingeweza kumsimamisha mtu kama lowasa kuwa mgombea wake,mtu mlie mtukana miaka nenda rudi mkamwita majina yote mabaya ,leo hii mtu hyohyo ndo anapeperusha bendera yenu na nyie kwa sababu uwezo wenu mdogo wa kufikiri anachokisema mbowe woote mnafuta,mmeona watu wenye akili wakina dk slaa na profesa lipumba hawa ni watu wanasimamia wanacho amini,kweli watu wananyimwa uwezo wa kufikiri lakini hata hili hamuwezi kushtuka,na bado uchaguzi ujao mtawekewa kingwendu ndo atakua mgombea uraisi wenu

Walewale mapadre walioasi
 
Back
Top Bottom