Nina Masters nataka kufanya PHD

Kidogo ulitaka kumkaribia Bashite.

KUSOMA SANA NI UOGA WA MAISHA.
hii kauli wengi sana wananiambia, lakini mimi huwa siipendi haina uhalisia. Mimi nimetumia jina la mtu mwingine ambaye alikuwa mtoro shuleni, sidhani kama ni kosa kisheria.
 
Mabashite kumbe mpo wengi!
Elimu ina changamoto zake ndugu yangu. si bora mimi nakesha nasoma ili nipite, je wale wanaonunua mitihani na madesa huko kwenye mavyuo? hao nao wapo kundi gani? tena hao ndiyo wengi.
 
Kiukweli pesa sina, maisha yangu ni ya upweke sababu muda mwingi natumia kusoma, maana akili yangu nayo haishiki kwa urahisi, yaani ni kwa mbinde mno siyo kama wengine anasoma kidogo tu kamaliza, mimi ni kukesha na vitabu.
Kiukweli pesa sina, maisha yangu ni ya upweke sababu muda mwingi natumia kusoma, maana akili yangu nayo haishiki kwa urahisi, yaani ni kwa mbinde mno siyo kama wengine anasoma kidogo tu kamaliza, mimi ni kukesha na vitabu.
ahaaa eti kwa mbinde mno. Pole

nimegundua wewe una akili ya kawaida. Na unatumia nguvu nyingi kusoma. Phd sio mchezo na vile umesema hauko vizuri kujielezea mmmh utapata ugumu.

Nina mtu wangu wa karibu anaosoma phd yuko nondo tangu primary hadi hapo alipo ni kichwa kweli kiasi kwamba akipiga hata serengeti 5 tu anashusha material si mchezo, vitabu anavyosoma ni kuanzia kg 10+ wewe utaweza?

Kwann usifanye kazi au kutafuta mtaji ufanye biashara?
 
Uko OK. Ila PhD inatakiwa uwe vizuri kichwani. Hujatumia cheti cha mtu.
 
Nakupongeza kwajitihada ulizonazo katika kutafuta elimu. nakushauri hata PhD soma. utapata na utaweza hata ukiisoma miaka nane ni kawaida tu
 
Uko OK. Ila PhD inatakiwa uwe vizuri kichwani. Hujatumia cheti cha mtu.
cheti cha mtu hapana, tatizo langu ni kichwa siyo kizuri - yaani ni usongo usiku na mchana kusoma!! hii ndiyo changamoto ambayo nimekuwa nayo toka nikiwa secondari - ni kukesha kukesha na mimi
 
Consult Prof Bashite
 

Unawajua wote wenye Phd? Tafakari kabla ya kusema/kuandika. Pole sana.
 
komaa na kitabu mbaba ila tambua umri unaenda..
 
Kwa chuo makini ukichukua hizo sehemu nilizoweka nyekundu hawatakupa admission, hata barua ya referee inaweza ikawa ngumu (Labda Open University yetu ingekuwa inafuata nadharia ya Open education, lakini Ndalichako na Uncle Magu hawataki hili). Ni vizuri ukajithamini unataka PhD ili iweje, na hata kama utapata "chuo" kikakupa admission msuli wake utauweza au utapoteza muda tu. Sikushauri. Pili nafikiri masters peke yake haikufanyi uwe mwanazuoni ingawa wanaweza kukuita msomi-lakini kwa jinsi ulivyo unga unga inaleta shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…