mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
Takriban mwezi mmoja na zaidi kumekuwa na harakati mbali mbali kuhusu hifadhi ya Ngorongoro ama wahame au wabaki,huku kila upande ukijenga hoja yake
Pia waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliwashauri viongozi wawape elimu wahusika kabla ya kufikia uamuzi wowote
Mimi hayo yote Sina shida nayo ikiwa Kuna Nia njema mbele
Hofu yangu ni mapambano hayo ya propaganda kuongozwa na watu waliowahi kutuamiminisha kuwa wakati wa Magufuli kila Jambo lipo sawa
Mfano gazeti la Jamvi la Habari kupitia mkurugenzi wake Mchange kwa Sasa ndiyo kinara wa propaganda ya Ngorongoro inateketea.
Huyu ndiye wakati wa awamu ya tano hakuna baya lolote na kila aliyeikosoa serikali au kutumbuliwa na Rais wakati huo alikuwa adui yake na gazeti lake lilisimama kumshambulia hata kutweza utu wa mtu.
Leo hii NCAA kupitia wizara ya maliasili wanatuaminisha kuwa kupitia mtu huyu huyu tutarajie jema katika kelele za Ngorongoro ni ajabu sana
Pia waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliwashauri viongozi wawape elimu wahusika kabla ya kufikia uamuzi wowote
Mimi hayo yote Sina shida nayo ikiwa Kuna Nia njema mbele
Hofu yangu ni mapambano hayo ya propaganda kuongozwa na watu waliowahi kutuamiminisha kuwa wakati wa Magufuli kila Jambo lipo sawa
Mfano gazeti la Jamvi la Habari kupitia mkurugenzi wake Mchange kwa Sasa ndiyo kinara wa propaganda ya Ngorongoro inateketea.
Huyu ndiye wakati wa awamu ya tano hakuna baya lolote na kila aliyeikosoa serikali au kutumbuliwa na Rais wakati huo alikuwa adui yake na gazeti lake lilisimama kumshambulia hata kutweza utu wa mtu.
Leo hii NCAA kupitia wizara ya maliasili wanatuaminisha kuwa kupitia mtu huyu huyu tutarajie jema katika kelele za Ngorongoro ni ajabu sana