kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kwa mara ya kwanza nimeingiwa hofu kuwa hii michezo huenda ikawa na hila nyingi.
Mshindi wa hivi karibuni kwa jina Abdulaziz,alijitambulisha kwa fani ambayo sijawahi kuisikia duniani-"Pharmacistic laboratory!" Ni gani mpya sijui ina husiana na nini!Wasi wasi wangu ni kwamba,alitaka kujiita pharmacist yaani Mfamasia.Ila kwa jinsi alovyoitamka nimejikuta naamini kuwa huyu mtu amefundishwa aseme ni nani nadhani kwa lengo la kupngeza wateja wenye fani hiyo.
Ajabu ni kuwa video yake aloyojitambulisha kama pharmacistic,inasambaa sana na kidhihakiwa na wenye taaluma aliyotamani ajibambikize?
Yote haya yanaonesha kuna uwezekano wa kuwa hizi pesa wanapeana tu
Mshindi wa hivi karibuni kwa jina Abdulaziz,alijitambulisha kwa fani ambayo sijawahi kuisikia duniani-"Pharmacistic laboratory!" Ni gani mpya sijui ina husiana na nini!Wasi wasi wangu ni kwamba,alitaka kujiita pharmacist yaani Mfamasia.Ila kwa jinsi alovyoitamka nimejikuta naamini kuwa huyu mtu amefundishwa aseme ni nani nadhani kwa lengo la kupngeza wateja wenye fani hiyo.
Ajabu ni kuwa video yake aloyojitambulisha kama pharmacistic,inasambaa sana na kidhihakiwa na wenye taaluma aliyotamani ajibambikize?
Yote haya yanaonesha kuna uwezekano wa kuwa hizi pesa wanapeana tu