Nina mashaka kuhusu mtoto

Vijana wa hovyo ni janga kwa taifa!
Iwe ni kweli au story tu, vijana wenye mtazamo wa kutelekeza watoto na wadada wanaosingizia baba wasio wa kweli, ni janga kwa taifa! Imesababisha watoto wengi kushindwa kutambua wao ni nani (identity confusions)
 
Huyo mwanamke atakuwa ni wa Iringa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…