Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Najua utastuka ila samahani kwa kustuka kwako,hapa duniani hamna mtu kama mama,mama yupo tayari kudhalilika hata njiani,kwenye basi anaweza toa nyonyo na kukupatia,hakuna sehemu nyeti kama nyonyo ila kina mama hawa hawajali,usiku hawalali wanakesha na watoto,elimu huwezi kupata bila msukumo wa mama,tabia yako inategemea malezi ya mama,big up mama na wanawake wote