NINA LAKI TANO SIMU GANI ITANIFAA..

NINA LAKI TANO SIMU GANI ITANIFAA..

mwanahabari93

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
263
Reaction score
170
Nataka simu mpya kabisa ....niifungue mwenyewe ...ila isiwe tecn.......nataka kampuni ya samsung
 
Samsung j5 ni mzuri chukua 4g haizidi laki nne huto jutia
 
Samsung wanauza laki sita Na 20 ila za 4g ila zipo za 3g pia laki tano unapata ila j5 ndio Bora katika j series hiyo j7 ni kioo kikubwa tu ila kwa ufanisi J5
Nashukuru sana nilikuwa sijajua kuwa j7...zipo za 3g tu
 
Samsung wanauza laki sita Na 20 ila za 4g ila zipo za 3g pia laki tano unapata ila j5 ndio Bora katika j series hiyo j7 ni kioo kikubwa tu ila kwa ufanisi J5
Kwahyo j5 naweza pata kwa bei gani mpya kabisa
 
Kwahyo j5 haizidi laki 4..?
Nenda duka la Samsung utapata bei sahihi ila bei zake ni laki nne ata kwa bajeti yako ya laki tano unapata simu na chenji inarudi Na unakuwa umelipa kodi kwa taifa lako usisahau kudai risiti
 
Nenda duka la Samsung utapata bei sahihi ila bei zake ni laki nne ata kwa bajeti yako ya laki tano unapata simu na chenji inarudi Na unakuwa umelipa kodi kwa taifa lako usisahau kudai risiti
Poa poa shukrani sanaa...
 
j7 ni 415,00 hadi 450,000 hivi.

ila kuna j7 ya 2016 ambayo ni nzuri zaidi imeongezwa battery, ram, storage na pembeni ina frame za alluminium.

hii ya 2016 inaweza fika hio laki 5.

kuijua kirahisi angalia tu frame za pembeni ukiona ni plastic jua ni j7 kawaida ikiwa alluminium ni j7 2016
 
Back
Top Bottom