Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Nenda dukani mkuu .Wakuu nahitaji simu yenye hali nzuri, offer yangu ni laki 3 za kitanzania.
Naomba isiwe tekno (nilishazichoka hizi).
Storage kuanzia 16 GB, Camera iwe nzuri, ikiwa na finger print ni added advantage, betri capacity kuanzia 3,000mAh
Kama unayo njoo tuzungumze, kama huna simu povu PM.
Niko Korogwe.
Mkuu ninakuachia xiaomi redmi note 4 16 ikiwa na sifa zote tajwa hapo juu ila ongeza 50 tu kama utaweza niko lindi kuhusu kukufikia magari ya moja kwa moja lindi Tanga yapoWakuu nahitaji simu yenye hali nzuri, offer yangu ni laki 3 za kitanzania.
Naomba isiwe tekno (nilishazichoka hizi).
Storage kuanzia 16 GB, Camera iwe nzuri, ikiwa na finger print ni added advantage, betri capacity kuanzia 3,000mAh
Kama unayo njoo tuzungumze, kama huna simu povu PM.
Niko Korogwe.
Njoo pm mkuuMkuu ninakuachia xiaomi redmi note 4 16 ikiwa na sifa zote tajwa hapo juu ila ongeza 50 tu kama utaweza niko lindi kuhusu kukufikia magari ya moja kwa moja lindi Tanga yapo
Ulimaanisha experia ipi mkuu?Sony Expedia Inuzwa 250000/=
Lenovo ndio simu gani sasa? Andika kitu kinachoelewekaLenovo VIPI huchukui
Njoo pmNjoo nikupe xperia z3 inaneremeta
Kuja pm tuyajengeIpo Galaxy J7, huitaki?