babulakibaha JF-Expert Member Jun 7, 2012 287 325 May 4, 2013 #1 naomba kufaham,hv matangazo ya nafas za kaz magazetin ni kweli au janga?mm ni dereva wa fuso na nmeomba sehem kbao,cv saf au hawatak ss?:angry:
naomba kufaham,hv matangazo ya nafas za kaz magazetin ni kweli au janga?mm ni dereva wa fuso na nmeomba sehem kbao,cv saf au hawatak ss?:angry:
m.agape Senior Member Dec 7, 2012 141 79 May 4, 2013 #2 Kuwa na moyo wa subira kaka. Ipo siku Mungu atakupa haja ya moyo wako.
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Sep 8, 2011 1,513 474 May 4, 2013 #3 We tayari una kazi. Achia wasio na kazi maana wapo wanaotafuta hata kuendesha baiskeli ilimradi tu wawe wameajiriwa, we wa fuso si uko vizuri ?
We tayari una kazi. Achia wasio na kazi maana wapo wanaotafuta hata kuendesha baiskeli ilimradi tu wawe wameajiriwa, we wa fuso si uko vizuri ?