ala kivipi sasa wakti mm dume la mbegu na si mda ntatunukiwa jikeSijao mkuu tafadhari naomba ukubali posa yangu niuage huu ukapela unanisumbua kweli
hahahaaaaaaa.samahani sana mkuu tatizo ni hiyo ID
hahahaa kale kadogo kichwa kiko juu juu kana 21 yrs now katakufilisi tu mkuuNdio mkuu kama ata una mdogo wako we nikabizi tu nitamtunza haki
Nna dawa ya hangover ,ya sura sinaBado tafadhari kama una dawa yake niwasilishie PM

Posts zako noma, vipi hujaponaga tu hiyo sura uliyopigwa kwenye fumanizi![]()
ipo maeneo ganiNenda Kato Bar nishukuru baadae!!..