Nina Haja Ndogo!

Nina Haja Ndogo!

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Wapenzi ndugu zangu wachitichati, habarini kimiamko.
Kumekucha tena Jumamosi , ambapo wengi wenu mu mapumzikoni mwa mwisho wa juma.
Aidha wengine akina sie mishemishe zetu, kukicha ni teke mbele, mapumziko hayana siku specific.
Yote maisha alimradi kiganja kisiache kuripoti pale kwenye tundu iliyo chini ya Pua na juu ya Kidevu.
As my headin mentioned above haja yangu si kubwa nilioikusudia kuwaletea leo.
Haja yangu ni ndogo tu!
Nayo ni kuwaongezea siku.
Hebu fatana nami umuone bwana huyu mwenye asili ya Kiasia (muhindi) alivyozijibu methali hizi :-
1. Nyani haoni .....?
Jibu- Kama nyani haoni valisa mawani!

2. Debe tupu .....?
Jibu- Weka dengu!

3. Maskini akipata......?
Jibu- iko juri sana toacha ibia jumbani yetu!

4. Penye wengi ....?
Jibu- iyo tokua kutano ya chadema!

5. Penye kuku wengi .....?
Jibu- Chinja bili or tatu ote choma sekela!

6. Chovyachovya ....?
Jibu- iyo iko must be totia mimba!

7. Simba mwendapole ....?
Jibu- iyo ogopa Yanga!.

Chaoo!
 
Hahahaha -asie na mwana ? Jibu- hiyo hapana jua kazi ya kitanda. Usilo lijua JIBU uliza google tapatia jibu veve.
 
Usipo ziba ufa , jibu -miji taona veve dani ya jumba yako.
 
Duh! Mie nikazani umebanwa na haja ndogo unataka ku shii.
 
hee....iyo heading mi nikahc umebanwa kukojoa..
 
Hahahaaah!! Kumbe ndio haja yako hiyo...?
 
Kama ndo hivyo muda si mrefu na mimi nakuja na haja kubwa....
 
Wapenzi ndugu zangu wachitichati, habarini kimiamko.
Kumekucha tena Jumamosi , ambapo wengi wenu mu mapumzikoni mwa mwisho wa juma.
Aidha wengine akina sie mishemishe zetu, kukicha ni teke mbele, mapumziko hayana siku specific.
Yote maisha alimradi kiganja kisiache kuripoti pale kwenye tundu iliyo chini ya Pua na juu ya Kidevu.
As my headin mentioned above haja yangu si kubwa nilioikusudia kuwaletea leo.
Haja yangu ni ndogo tu!
Nayo ni kuwaongezea siku.
Hebu fatana nami umuone bwana huyu mwenye asili ya Kiasia (muhindi) alivyozijibu methali hizi :-
1. Nyani haoni .....?
Jibu- Kama nyani haoni valisa mawani!

2. Debe tupu .....?
Jibu- Weka dengu!

3. Maskini akipata......?
Jibu- iko juri sana toacha ibia jumbani yetu!

4. Penye wengi ....?
Jibu- iyo tokua kutano ya chadema!

5. Penye kuku wengi .....?
Jibu- Chinja bili or tatu ote choma sekela!

6. Chovyachovya ....?
Jibu- iyo iko must be totia mimba!

7. Simba mwendapole ....?
Jibu- iyo ogopa Yanga!.

Chaoo!
Hapo kwenye red tangu lini ukawa na mamlaka ya muumba?

By the way nimeipenda,big up!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom