Nina haja nawe kila saa

Ubarikiwe mkuu!!
 
Yesu nakuhitaji vivyo kila saa niwezeshe mwokozi nakuujia .??


Nimekosa nguvu kila saa matatizo.
Hayaishii huwezi ukasema nipo sawz sasa ukafurahi unaletewa jingine hadi mtu anachoka eti
Katika Wagalatia 6:5,
Imeandikwa,


"Maana kila mtu atauchukua, mzigo wake mwenyewe."

tafadhali,
beba mzigo wako kwa imani bila manung'uniko.

Lakini pia imeandikwa Mt. 11:28,
"Njooni kwangu ninyi nyote na wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha." Imani yako kwa Mungu, ikutue mizigo yako kwa uaminifu, maneno na vitendo vyako mwenyewe.

Hata kwenye ile Zaburi 23:1 inayosema,
"Bwana ndie mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu "

nadhani kama waKristo, inafaa kutumia biblilia kama formula ya kujiondoa kwenye mikwamo ya kimwili na kiroho.

Ni muhimu sana kua makini,
maana laumu zetu zinaweza kutuvunja moyo na kutukatisha tamaa wenyewe.

Daima,
pale unapokua dhaifu ndipo yafaa uwe na nguvu zaidi 🐒
 
YESU ANAABUDIWA KWENYE kurani kwamba ni Mungu na hakufa bali alipaa mbinguni.
Surah An-Nisā (4:157–158)
وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ... بَل رَّفَعَهُ ٱللَّهُ إِلَيْهِ ۚ وَكَانَ ٱللَّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا

“Wala hawakumuuwa, wala hawakumsulibisha, bali iliwadhihirikia hivyo tu. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake...”
 
Sasa hapo wapi waliposema anaabudiwa?
 
Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake sio Alijinyanyua kwake , labda kiswahili kinakupa taabu


View: https://www.instagram.com/reel/DYzDbUIozsh/?igsh=eTNxMm1sMXM2YTlu
 
urudi ukachapwe kiboko 🍆 na mwl wa madrasa ili akukumbushe kusoma vzuri 💩

  • Yohana 17:3: Katika maombi yake, Yesu anamtambulisha Mungu pekee: "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma."
  • Marko 10:18: Yesu anajibu: "Mbona kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ni Mungu."
  • Hesabu 23:19: Agano la Kale linaweka wazi asili ya Mungu: "Mungu si mtu, hata akasema uongo..." Yesu (kama mwanadamu) hawezi kuwa Mungu.
 
Hallelujah YESU Kristo ni Mungu, ndani ya dakika chache umemkiri YESU kwa kulisoma neno lake.
Hapo ndipo mnapo shindwa akili na wakristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…