Nina Diploma ya Electrical Engineering, natafuta ajira

Nina Diploma ya Electrical Engineering, natafuta ajira

Majesty S P

Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
62
Reaction score
88
Habari wakuu,

Poleni na majukumu ya wiki nzima.Naamini mna weekend njema.

Naombeni mnisaidie Ajira ndugu zangu nina Diploma ya Electrical Engineering tangu 2015 kiufupi ni ELECTRICALTECHNICIAN. Uzoefu miaka 5+ nilijiajiri muda mrefu ila mambo yameenda mrama tangu mwezi wa 3 kipindi cha Corona sina riziki kwa sasa nipo tayari kufanya kampuni lolote Hapa nchini kwa kuajiliwa au Kujitolea ili niweze kuendeleza ujuzi wangu.

NB:
Naombeni muisambaze hii picha kwenye magroup mengine Tanzania ilinnisaidiwe.

Contacts : +255 (0) 657 932404.​

IMG_20201110_114621_379.jpg
 
Rais ameahidi ajira milioni 8. Kuwa na subira. Na wewe zamu yako itafika
 
Sasa hamna namna tusubiri ahadi tu maana tupo kwenye jamhuri ya North Korea
Upo sawa mkuu, maana "uchaguzi umeisha"uchaguzi umeisha"uchaguzi umeisha" waTanzania tuchape kazi..😇😇😇
 
Kwanini usijiajiri kama upo vizuri kwenye mambo ya umeme.Fani ya umeme ina kazi nyingi mtaani usiwazie kuajiriwa tu,jiongeze.
 
Kwanini usijiajiri kama upo vizuri kwenye mambo ya umeme.Fani ya umeme ina kazi nyingi mtaani usiwazie kuajiriwa tu,jiongeze.
Imagine magufuli kaogopa kujiajiri ameamua aibe kura, Trump anaogopa kutoka nje ajiajiri anang'ang'ania ikulu, bwana rajabu aliekula rc wa morogoro alilia sana asitumbuliwe kisa balaa la kujiajiri............ mkuu tema mate kaa kimya.
 
Kwanini usijiajiri kama upo vizuri kwenye mambo ya umeme.Fani ya umeme ina kazi nyingi mtaani usiwazie kuajiriwa tu,jiongeze.
Haya maneno huwa siyapendi mtu akiandika ananichefua, mimi nimejiajiri lkn hata siku moja, siwezi mwambia mtu ajiajiri maana ukiona mtu anatafuta ajira maana yake kashindwa kujiajiri. Sasa wewe unamwambia alieshindwa kujiajiri, ajiajiri bahati mbaya mnaaosema hivo huwa mmeajiriwa.

Yeye anaujuzi kama kazi zipo nyingi, mshike mkono mtumie ujuzi wake mpige pesa.
 
Keyboard warrior.
Hebu mpe tenda za umeme aje akupigie kazi.
Msiwapotoshe vijana angali wananguvu,mi mwanangu amemaliza chuo mwaka wa pili sasa yupo,ameanzisha kijiwe cha chips,anajipatia riziki yake.Amesahahu habari ya kuajiriwa amefikia kuongeza tawi lingine la kuuza chips,kaajiri wafanyakazi wawili,na hanitegemei tena.
 
Msiwapotoshe vijana angali wananguvu,mi mwanangu amemaliza chuo mwaka wa pili sasa yupo,ameanzisha kijiwe cha chips,anajipatia riziki yake.Amesahahu habari ya kuajiriwa amefikia kuongeza tawi lingine la kuuza chips,kaajiri wafanyakazi wawili,na hanitegemei tena.
Dogo ametisha sana
 
Back
Top Bottom