musa abel jr
Member
- Oct 12, 2016
- 39
- 57
Habari za muda huu ndugu zang wa JamiiForums mimi ni kijana wa kiume nina umri 23 nina Diploma in Pharmacy (Pharmaceutical Technician) but bado sijapata leseni nategemea kufanya mtihan mwez wa kumi naishi shinyanga naomba mwenye kuweza kunipa connection au kuniajiri katika Pharmacy ya jumla au rejareja nitashukuru au hata Duka la dawa muhimu nitashukuru.
Naomba kuwasilisha
0622567654 au 0718927103
Naomba kuwasilisha
0622567654 au 0718927103