Nina Chuki Binafsi na Bw.Kikwete!

Nina Chuki Binafsi na Bw.Kikwete!

Status
Not open for further replies.

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,352
Reaction score
15,070
Nina chuki binafsi na huyu Jamaa (Bw.Kikwete), yaani simpendi tu, hata nikimuona hivi nasikia hasira mpaka basi... Sijui ni kwa nini, ila ndiyo hivyo tena...
 
Ungeongeza nyama kidogo kwenye uzi wako ili kuipa chuki yako uzito kidogo ugenishawishi na mie kutompenda

Jaribu siku moja kwenda popote alipo hasa kwenye misiba then shikana nae mkono kisha rejea hapa useme tena kama ulivyosema
 
Nina chuki binafsi na huyu Jamaa (Bw.Kikwete), yaani simpendi tu, hata nikimuona hivi nasikia hasira mpaka basi... Sijui ni kwa nini, ila ndiyo hivyo tena...

Mpendwa jaribu kutafuta therapist. Huenda wakawa na msaada zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom