Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,180
- 22,801
Mzee angekuwepo nadhani angekuwa anawacharaza bakora wao na waume zao.pumbafu kabisa.yule dada yangu mwingine ambaye amewekewa limbwata na shemeji kiasi kwamba anatomaswa tomaswa mbele yangu bila aibu ye hajali anacheka cheka tu kama fala.
Mimi na umri huu shemeji alikuwa sometime ananambia nimsaidie kazi ndogo ndogo za home.walimwondoa msichana wa kazi baada ya kugundua mimi namgegeda pale home.shemeji kwa roho mbaya akaona aninyime hiyo haki ya msingi akamshauri dada eti wamfute kazi huyo dada nisije nikampa mimba wakalazimika kulea.
Shemeji roho mbaya sasa naye amemaliza mkataba kazini kwake.mwezi mzima yupo home anaangalia sultan asub mpaka usiku.dunia tambala bovu.sasa ananiona mi mtu wa maana.
Huyu sister mdogo tulimwoza kwa mimba tu... Yaani hatukupata hata kitu.alitiwa mimba jamaa akavuta anajilia tu kwake.nami mungu si athuman nmepata kazi natafuta nyumba. Jana kaja kunisalimia shem anaondoka anagongea nauli kwangu.
Wakati kipindi kile alijidai yeye kidume kaoa kwa mimba.nmempa nauli tsh 450. Tena hapo inabidi amwombe konda maana imepungua kidogo.yeye alijifanya jeuri sana.sasa nmemfanyia kusudi.maana aliona kabisa natoa buku 10 then nikaenda dukani nikanunua big G za 2500 nipate change.then nikampa 450. Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.
Yeye alijiona hodari sana wa kujegeja...kuwa dada kampenda hivyo hivyo.nami nikasema mtaishi hivyo hivyo haina shida.sasa anaona hali ilivyo ngumu.
Mimi sijui kwa nini nina bahati mbaya na hawa madada na shemeji zangu.huyu dada mwingine mrembo aliyeko chuo nshamwambia naye asije leta mambo ya kidwanzi huko mbeleni
Mimi na umri huu shemeji alikuwa sometime ananambia nimsaidie kazi ndogo ndogo za home.walimwondoa msichana wa kazi baada ya kugundua mimi namgegeda pale home.shemeji kwa roho mbaya akaona aninyime hiyo haki ya msingi akamshauri dada eti wamfute kazi huyo dada nisije nikampa mimba wakalazimika kulea.
Shemeji roho mbaya sasa naye amemaliza mkataba kazini kwake.mwezi mzima yupo home anaangalia sultan asub mpaka usiku.dunia tambala bovu.sasa ananiona mi mtu wa maana.
Huyu sister mdogo tulimwoza kwa mimba tu... Yaani hatukupata hata kitu.alitiwa mimba jamaa akavuta anajilia tu kwake.nami mungu si athuman nmepata kazi natafuta nyumba. Jana kaja kunisalimia shem anaondoka anagongea nauli kwangu.
Wakati kipindi kile alijidai yeye kidume kaoa kwa mimba.nmempa nauli tsh 450. Tena hapo inabidi amwombe konda maana imepungua kidogo.yeye alijifanya jeuri sana.sasa nmemfanyia kusudi.maana aliona kabisa natoa buku 10 then nikaenda dukani nikanunua big G za 2500 nipate change.then nikampa 450. Ukijua ya mbele wenzio wanajua ya nyuma.
Yeye alijiona hodari sana wa kujegeja...kuwa dada kampenda hivyo hivyo.nami nikasema mtaishi hivyo hivyo haina shida.sasa anaona hali ilivyo ngumu.
Mimi sijui kwa nini nina bahati mbaya na hawa madada na shemeji zangu.huyu dada mwingine mrembo aliyeko chuo nshamwambia naye asije leta mambo ya kidwanzi huko mbeleni



