kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,385
- 9,219
Hahaahaaa pongezi kwa kuangalia mambo kwa mtazamo chanya, ila kwa jinsi mada ilivyowasilishwa nachelea kuamini hilo.Anaweza kuwa hajaandika kuwa alimgawia big G,lakini obviously lazima atakuwA alimgawia big G za 2500 Ni nyingi Sana Kama watu huwa tunagawana za 200/-
Sent using Jamii Forums mobile app