Nina 6 million nahitaji gari used

Nina 6 million nahitaji gari used

Tuwasiliane nikupe toyota harrier, gari ipo vzr sanaa tuwasiliane kwa namba hii.0756653128, 0785636880.

MNHHH...TUWE WAKWELI AISEE...HARRIER YA MIL 6?...IKO AJE HIYO?...NAMBA A AU D? HISTORIA YA AJALII NA MENGINEYO HASI JUU YA GARI HIYO? IKO ROAD INATEMBEA AU UNAIUZIA GARAGE? INAKULA MCHEMSHO AU MAFUTA NA KWA KIASI GANI?
AU MKUU UNAIUZA UONGEZEE PESA YA MATIBABU UNAUGULIWA?
 
Wana nzengo nahitaji gari ambalo mtu ameshatumia walau mwaka au miaka 2 na anahitaji kuliuza, ili na mm nijibanze humo, mfano paso na gari mfano wa hizo toyota ist na kadhalika
Kwa mwenye taarifa naomba tuanzia pm kwanza
Mkuu nimegundua JF ni zaidi ya kariakoo, nahisi unaweza ukapigwa ile mbaya. Kweli Magufuli kabana 6m imepata hadi mteja wa Harrier au wanatania tu. TAKE CARE, WENGINE HAWANA HATA PHOENIX HAWA
 
Milion sita unaongezea kidogo unaagiza npya dukani
Kweli? labda kama anataka kufilisika maana atapata gari kila siku atakuwa garage.sijui hivyo vigari vya ajabu lakini mimi nimenunua gari Toyota corolla new modern mwaka 2012 kwa shs mil 15
 
Back
Top Bottom