Hapa kuna gari ya zamani kidogo ila imefungwa injini mpya. Bodi ni ya ukawa na imefungwa engine ya Lowasa.
Ok poa ukitaka kunajamaa yupo poa sana ni dalali anahuhakika na gari zake kabla hajauza
Hiyo Passo No D kwa 5m labda ya wizi.A ha kumkatisha mwenzako tamaa mil 5 nyingi unapata gari safi kabisa za kulenga kwa WATU, pass namba D pia unapata kwahiyo PESA ya kulenga, wala aside na haraka.
Mm nakushauli sana unaweza kupata gari moja kwa moja toka Japan na isifike m5 nakwambia kweli kwasababu mm nafatilia na najua kuhisu hili nitafte nikupe maelekezo unapata gari unalisafirisha na unalipia ushuru jumla ya gharama zote dolla 2100 so kama kweli unayonia mm nitakusaidia kwa kukuelekeza....mm nipo mwanza pia kwa wanaotaka kuagiza magari wanione tutafanya biashara nzuri sana utapata gati zuri na utafrahia uduma hiii 0788453209
Hehehe lbda inauzwa eidha gari ina matatizo au muuzaji ana shidaHiyo Passo No D kwa 5m labda ya wizi.
Aisee.......nilikuwa natafuta sana hii........na rafiki zangu wengine nao walikuwa wanataka.......ngoja niwaite.......
Kaizer...... MANI..... RRONDO........ Mshana Jr...........
Aisee.......nilikuwa natafuta sana hii........na rafiki zangu wengine nao walikuwa wanataka.......ngoja niwaite.......
Kaizer...... MANI..... RRONDO........ Mshana Jr...........
Nina hicho kiasi nahitaji gari iliyo katika hali nzuri.