hivi wewe kikwete uoeni hata aibu kuwaibia watanzania mchana kweupe, unataka tuzungumze na wewe kwa lugha ya kikwele ili utuelewe, maana nake sidhani hata kama hiko kikwele unajua kwa kweli. Sasa tunasema hivi tumekuchoka ikulu siyo kijiwe cha familia, majungu, ushirikina na mengineyo ya gizani unayo yafanya wewe, kuliko kuondoka na aibu bora umwage manyanga kwa busara. Na wasiwasi kama miaka mitano utamaliza kwa kuwa utabiri wa mchawi wako mkubwa "shekhe yahya" utatimia.