sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,752
Yaani nyie walevi wa Yesu sijui mkoje!!? Sio kila kitu ni cha kuhusishanisa na Yesu. Hivi vitu vinahitaji busara we unamleta Yesu hapa. Na ndio maana mnatuharibia ndoa kwa kuwateka wake zetu na kuwashauri ujinga eti ndo Yesu anavyotaka mwisho wa siku ndoa ikivunjika wake zetu mnatembea nao au wanatembea na watumishi wenu. Shame!!Omba toba juu yako,juu ya Baba yako,juu ya mama yako,juu ya Judy mama yako mdogo. Kwa kile kilichosababisha baba yako akamuacha mama yako tubu, Ingia maombi ya kuwatenganisha kwa jina LA Yesu aliehai kwa kuwataja majina yao. Hakikisha unajua kusali na unasali kwa imani. Haichukui Muda wanachofanya ni wanastail mauti na wamekwisha kufa katika ulimwengu wa kiroho ni wafu wanaozikana. Mpe Yesu wataachana tu hiyo ni roho ya zinaa kwa msaada wa maombi japo utaomba wewe 0767451444 na kama we we ni mwislamu sifahamu sasa jinsi ya kutatua.
Mpe ushauri wa busara mwenzio, sio kuleta utapeli hapa