Aliyeruhusu hilo Jaribu likupate, ambaye alikivusha kwenye huo mtihani na akakuletea huyo binti ndiye atakaye kupa nguvu, mke mwema, watoto na maisha yenye upendo, uvumilivu na amani.
Wasiwasi (mawazo) hautakusaidia kwani uzoefu unaonesha, huharibu zaidi ya kujenga!
Muamini Mungu, mengine yote yatakuja!