Nimwambie hali halisi?

Nimwambie hali halisi?

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,741
Reaction score
3,315
Habari wakuu

Kuna binti nilikua nampenda sana na tumekua nae kwenye mahusiano kwa yapata mwaka mmoja
Badae alianza kubadilika hasa linapokuja suala la kunyanduana yani nikwa manati sana
kiufupi nikawa mpenzi wa kuitwa kwenye sms tu so nikaamua kumpotezea kimya kimya na nikiri wazi Jf ilikua chuo changu kizuri cha kufanikisha hilo.

Mwezi huu nilianza mahusiano na binti mwingine ingawa nilimuweka wazi kwamba sina mpango wa kupata mtoto mwaka huu

Siku ya valentine ndo tukazindua rasmi penzi kwa ku do na kulingana na mzunguko wake alonambia sikua na shaka kabisa maana alimaliza period 27 January

Sasa changamoto ni kuwa kuanzia juzi huyu binti mpya alinambia kuhusu mabadiliko ya kiafya yanayoashiria ujauzito na leo kapima kanambia ni mjamzito kibaya sina hisia nae kiivo kama yule binti alopita.

Cha ajabu binti alopita leo kanitafuta akaniita majina mazuri na akanambia anataka penzi letu tulianze upya kwani amegundua hawezi kupata furaha popote zaidi yangu.

Kiukweli nimehisi hasira sana maana yeye ndio amepelekea mpaka mimi kuwa na mtu ambae sikutarajia na mpaka sasa kuna dalili za mimi kuingia tena kwenye issue za kutoa kiumbe ambavo sikutarajia.


So nataka nimwambie hii issue ilonikuta sababu yake ili ajue cha kufanya

Je nitakua sahihi au nimechanganyikiwa.
 
Nadhani ni sahihi kwa sababu ukweli umuweka mtu huru siku zote
 
Tena mfugukie vizuri mpaka ulipofikia baba kijacho. Kosa lako nikukosa hisia kwa ukupendae na kuwa na hisia kwa mtu anayesikupenda japo inawezekana alikuelewa ila ukawa na miny.ge ukatafuta utelezi kwingine haya sasa Mungu amejalia mupende tu mama K.
 
Mtafutie pututuru Mundende.. piga mashine halafu unamblock kila mahali.. mpaka akili imiae sawa
 
Habari wakuu

Kuna binti nilikua nampenda sana na tumekua nae kwenye mahusiano kwa yapata mwaka mmoja
Badae alianza kubadilika hasa linapokuja suala la kunyanduana yani nikwa manati sana
kiufupi nikawa mpenzi wa kuitwa kwenye sms tu so nikaamua kumpotezea kimya kimya na nikiri wazi Jf ilikua chuo changu kizuri cha kufanikisha hilo.

Mwezi huu nilianza mahusiano na binti mwingine ingawa nilimuweka wazi kwamba sina mpango wa kupata mtoto mwaka huu

Siku ya valentine ndo tukazindua rasmi penzi kwa ku do na kulingana na mzunguko wake alonambia sikua na shaka kabisa maana alimaliza period 27 January

Sasa changamoto ni kuwa kuanzia juzi huyu binti mpya alinambia kuhusu mabadiliko ya kiafya yanayoashiria ujauzito na leo kapima kanambia ni mjamzito kibaya sina hisia nae kiivo kama yule binti alopita.

Cha ajabu binti alopita leo kanitafuta akaniita majina mazuri na akanambia anataka penzi letu tulianze upya kwani amegundua hawezi kupata furaha popote zaidi yangu.

Kiukweli nimehisi hasira sana maana yeye ndio amepelekea mpaka mimi kuwa na mtu ambae sikutarajia na mpaka sasa kuna dalili za mimi kuingia tena kwenye issue za kutoa kiumbe ambavo sikutarajia.


So nataka nimwambie hii issue ilonikuta sababu yake ili ajue cha kufanya

Je nitakua sahihi au nimechanganyikiwa.
Mh niupotevu wa rasilmali za bure na nguvu ya taifa.. Unakua mnusa mto....
 
Hapo kwenye kuona dalili za wewe kutoa kiumbe ambacho haukutarajia nadhani ndo kwenye tatizo.
Ni busara kuacha kiumbe kiendelee kuishi.

Sehemu nyingine nadhani zipo sawa tu kwa upeo wangu huu mdogo
 
Hapo kwenye kuona dalili za wewe kutoa kiumbe ambacho haukutarajia nadhani ndo kwenye tatizo.
Ni busara kuacha kiumbe kiendelee kuishi.

Sehemu nyingine nadhani zipo sawa tu kwa upeo wangu huu mdogo
Kaka nna malengo mengine kabisa kwa mwaka huu hili la ujauzito litanitoa kwenye mstari vibaya na nnahisi kuna kitu ananichezea mchezo huyu binti mpya

Ebu kama unajua kusoma calendar za wanawake hiyo tarehe inawezekana ashike ujauzito?
 
Lakini mkuu c ungetumia mpira kiongozi, ikiwa ulikuwa unajua huitaji kuwa na mtoto kwasasa mbona tunachukulia mambo kilahic rahisi hivi

Mtoto wawatu amakuamini huwezi jua kawakataa wanaume wangapi lakini kakukubari wewe na ujauzito kakubebea ili kuonyesha anakupenda na usiwe mbali naye lakini anaambulia maumivu tuu moyoni wanaume cjui tuna roho gani
 
N
Kaka nna malengo mengine kabisa kwa mwaka huu hili la ujauzito litanitoa kwenye mstari vibaya na nnahisi kuna kitu ananichezea mchezo huyu binti mpya

Ebu kama unajua kusoma calendar za wanawake hiyo tarehe inawezekana ashike ujauzito?
Mkuu mbona unaibiwa kizembe kama alimaliza tarehe 27 januari ina maana mpaka siku ya valentine (14/feb) kimzunguko yupo siku ya 23 au 22 ambazo ni siku salama kabisa yani hawezi pata mimba.

Ila pia kuna sababu nyingi ambazo zinachangia mwanamke kupata ujauzito bila kupangilia mfano.

1).Kama siku zake zinabadilika badilika kutokana na magonjwa ya kudumu ,mood changes,hormonal imbalance ,diet pamoja na madawa ambayo anayatumia.

2).Anakupanga tu akupige pesa ndefu .

Ni hayo tu
 
We shwain ukiona binti anajibana kwako jua hilo tunda kuna niga analimega kila anapojisikia.

Sasa ukute huyo niga kakataa mimba huko kakutafuta wewe akulengeshe.

Shtuka. Utaweza kulea watoto wawili mmoja wa kusingiziwa?
 
Kwa mujibu wa kalenda mtoto ni wako,na mwuoe utaishi kwa raha achana na huyo kisirani
 
Aliingia mkuu
IMG_20210228_035859_771.JPG
 
Back
Top Bottom