Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,506
- 14,367
- Thread starter
- #21
Mshkaji wa kwanza aliachana nae kwasababu ya uzulumishi, wa pili kwasababu ya totoz basi na wewe muonyeshe kwamba una totoz ataachana na wewe unless unaishi kama paroko lazima akusumbue. Tafuta totoz wa kutosha wa kutesa nao hata kwa mwezi na yeye umualike ili aone lazima ataondoka hiyo ndio shortcut way.
siishi kama paroko lifestyle yangu ni simple kabisa kama girlfriend wangu akiwa free huwa nazuga nae sana tu na hata nikikaa nae watu wote hujua tu yule ni girlfriend wangu hata yeye anajua