Nimuache au nifanyeje wadau

Nimuache au nifanyeje wadau

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Habari zenu wapendwa
Am a girl 24 nmetokea kuwa na mahusiano na kijana mmoja ambaye tumefahamiana naw n kama 4 month,yeye ni accountancy wa benk so most of de tym ni yupo bize!
Mwanzo wa mahusiano yetu alikuwa anajitahd sana even kuntext ile morng sana na jion pia twaongea bt hv sasa amekuwa too much bize even kuongea ni kwa sku mara moja najiuliza kama kweli ananipenda lkn sipati jibu nikiwa nae anaonyesha kunipenda na tunaenjoy sana tukiwa pamoja anafuraha sana lakini tukiachana hapo mhm of coz sy
mtu wa kupnda chatng ukimtext anajibu short sana hiyo hali nimeizoea kias lkn sasa nafkiria niachane nae coz namuhitaji sana na ana mda mdogo wa kuwa na mm let say per week ni kama siku moja twaonana!
Sioni raha yyte ya kuwa nae japo i ril love him,kuna siku nikamuomba tutoke for dinner bas tukiwa huko nikajaribu kumweleza vile nakuwa lonly lakini alwayz majibu yake n ubize,mara anachoka ec,
Naombeni ushauri wenu
 
Miezi miine tu??? Ndio maana ndoa zenu siku hizi azidumu vijana.
 
Mwache jamaa bhana anatengeneza pesa acha kulialia hapa. Naamin angekuwa msukuma mkokoten au angekuwa mtu wa kushnda nyumban bila kaz usingempenda. Kaz yake ndio imekuvutia umpende hvyo punguza mlomo. Kwahyo aache kazi aje mtazamane uson tu. Ww vp
 
u'll loose a lot of money chasing girls....but you wont loose a girl chasing money! jamaa yuko vizuri
 
Mnapenda mapenzi ya pesa halafu hamjui formula zake.
Mtapata tabu sana.
 
Hayo ndio madhara ya kuwavulia watu vyupi ndani ya muda mchache tu,jiongeze mdogo wangu!
 
Mwache jamaa bhana anatengeneza pesa acha kulialia hapa. Naamin angekuwa msukuma mkokoten au angekuwa mtu wa kushnda nyumban bila kaz usingempenda. Kaz yake ndio imekuvutia umpende hvyo punguza mlomo. Kwahyo aache kazi aje mtazamane uson tu. Ww vp
hata raha ya mapnzi siioni yani
 
  • Thanks
Reactions: tgp
Bas mpige chin kama unaona huon raha ya malovee
 
Ninyi wanawake nashindwa kuwaelewa mnataka nini.

Sina cha kukushauri maana hata Mimi gf wangu kanibadilikia.
 
Hata mi sijaelewa. Kwani ni lazima kuandika kwa lugha ya kingereza!? tuendelee tu na kiswahili chetu tuepuke aibu ndogondogo.
Ha ha ha utajuaje kama vitabu vimesomwa, daftari limeandikwa?
 
Kama we ni mtu wa kupenda yale mapenzi ya muda wote kupigiana simu, kuchati whatsapp, kukutana lunch time, jioni kuwa na mpenzi wako, muda wote unataka umuone one.. Mfanyakazi wa benki we hakufai. Wale jamaa wanaingiaga saa 1 asubuhi kutoka ni saa mbili usiku. Lunch ni dakika 10 then wanarudi dirishani.. Hakuna muda sijui wa kuchati wala nini. We tafuta mtu anaefanya serikalini au ambaye hana kazi ndio utaenjoy..
 
Kama we ni mtu wa kupenda yale mapenzi ya muda wote kupigiana simu, kuchati whatsapp, kukutana lunch time, jioni kuwa na mpenzi wako, muda wote unataka umuone one.. Mfanyakazi wa benki we hakufai. Wale jamaa wanaingiaga saa 1 asubuhi kutoka ni saa mbili usiku. Lunch ni dakika 10 then wanarudi dirishani.. Hakuna muda sijui wa kuchati wala nini. We tafuta mtu anaefanya serikalini au ambaye hana kazi ndio utaenjoy..

Atafute mwalimu.
 
Ninyi wanawake nashindwa kuwaelewa mnataka nini.

Sina cha kukushauri maana hata Mimi gf wangu kanibadilikia.
chardams avatar hiyooo
anataka ulale nae 24/7 na uwe na $$$ muda wote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom