Toffee
Member
- Apr 21, 2013
- 80
- 25
"Habari Wakuu"
Tunaishi nyumba ya kupanga, kwa miaka minne tangu tuoane na mke wangu
tumefukuzwa mara mbili, na mpaka sasa bado hali ni tete:
NYUMBA ya1, Ndani ya miezi sita tuliketi zaidi ya mara mbili kuzungumzia tofauti zao
kati ya mke wangu na Ma mwenye nyumba.
Hatimae huyo Mama alisema; Kijana kabla hujaoa tumeishi nawe vizuri ila sasa!
nisionekane kuku vurugia ndoa yako tafuta nyumba uhame. kama tatizo liko kwangu
lita kua limekwisha.
Tuliamua kutafuta nyumba na yeye awe na kazi, tukiamini hata mashoga inaweza
kuchangia migogoro, baada ya kupata nyumba tukahama.
NYUMBA ya2, Tulifungua duka la rejareja, alishindwa si kuuza wala kusimamia maana hata
mdogowake aliingia kuuza na kisha pesa kutia mfukoni mwake.
Niliamua kuacha kazi yangu kwa muda na kukaa mwenyewe. Ndipo nilipo gundua
kumbe hata hapo teari manenomaneno ya shaanza na Ma mwenye nyumba.
Tumeketi zaidi ya mara mbili na hatimae tulifukuzwa.
NYUMBA ya3 Kaanzisha mahusiano na msichana wa kazi wa Ba mwenye nyumba.
Nilimshauri aachane nae hakusikia, baba mwny nyumba nae alituonya kusiana na
ukaribu wao lakini bado unaendelea.
Sasa huyo Binti ni mjamzito na inasemekana kutokana na ukaribu wao, hata mke wangu
amechangia. Mama mwny nyumba kafikia hatua yakumwambia mmewe tuhame.
Tuna mtoto mmoja mwenye miaka mitatu, nakosa amani sababu ya mke tuu.
(Naomba ushauri wenu tafadhari.)
Tunaishi nyumba ya kupanga, kwa miaka minne tangu tuoane na mke wangu
tumefukuzwa mara mbili, na mpaka sasa bado hali ni tete:
NYUMBA ya1, Ndani ya miezi sita tuliketi zaidi ya mara mbili kuzungumzia tofauti zao
kati ya mke wangu na Ma mwenye nyumba.
Hatimae huyo Mama alisema; Kijana kabla hujaoa tumeishi nawe vizuri ila sasa!
nisionekane kuku vurugia ndoa yako tafuta nyumba uhame. kama tatizo liko kwangu
lita kua limekwisha.
Tuliamua kutafuta nyumba na yeye awe na kazi, tukiamini hata mashoga inaweza
kuchangia migogoro, baada ya kupata nyumba tukahama.
NYUMBA ya2, Tulifungua duka la rejareja, alishindwa si kuuza wala kusimamia maana hata
mdogowake aliingia kuuza na kisha pesa kutia mfukoni mwake.
Niliamua kuacha kazi yangu kwa muda na kukaa mwenyewe. Ndipo nilipo gundua
kumbe hata hapo teari manenomaneno ya shaanza na Ma mwenye nyumba.
Tumeketi zaidi ya mara mbili na hatimae tulifukuzwa.
NYUMBA ya3 Kaanzisha mahusiano na msichana wa kazi wa Ba mwenye nyumba.
Nilimshauri aachane nae hakusikia, baba mwny nyumba nae alituonya kusiana na
ukaribu wao lakini bado unaendelea.
Sasa huyo Binti ni mjamzito na inasemekana kutokana na ukaribu wao, hata mke wangu
amechangia. Mama mwny nyumba kafikia hatua yakumwambia mmewe tuhame.
Tuna mtoto mmoja mwenye miaka mitatu, nakosa amani sababu ya mke tuu.
(Naomba ushauri wenu tafadhari.)