Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,173
- 2,000
Wakili Nimrod Mkono bado ni Mbunge? Sijamsikia tangu Bunge jipya lianze. Kufungia 'Bunge live' kutawagharimu wabunge wengi maana hatwasikii wala kuwaona wakichangia hoja mbalimbali.
Vv
Vv
Yeah,Wakili Nimrod Mkono bado ni Mbunge? Sijamsikia tangu Bunge jipya lianze. Kufungia 'Bunge live' kutawagharimu wabunge wengi maana hatwasikii wala kuwaona wakichangia hoja mbalimbali.
Vv
Duh, amekuwa kimya mno, sio kawaida yake. Yaani hata kwenye vyombo vya habari hasikiki, hata tarabushi yake tumeisahau.Yeah,
Mbunge -Jina
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us