Venance kiloti
Member
- Jul 7, 2012
- 29
- 2
Habarin
Habarini?
Nina mpenzi wangu tumekua pamoja tangu 2008 tukiwa ndio tumeanza barehe hadi hii Leo tumekua wakubwa kiasi tunawazia maisha..
Juzi kati amepata bwana mwingine kiukweli ili niuma sana na Kibaya zaidi napomuuliza anasema ananipenda mie ila yule yupo nae ili kuniumiza roho kwakuwa nilishawahi kumtendea hivi hapo nyuma... sasa jama mapenzi yanakulipiziana visasi kweli? ananihakikishia hatoshiriki kufanyanae mapenzi sasa nitaaminije? ushauri turn kipi nifanye...
daaa kwahyo unamaanisha ule usemi ndio unatimia kwangu "mtenda utendwa" ukumbuke Sasa tunapanga maisha ya badae Baby is Mad
Shangaa nawe ikiwa nilipo tambua samani yake niliacha yote niliyowahi kumfanyia na goti nilipiga kumuomba msamaha ila sijui why anafanya hivi salsa suregirl
Vijana wa siku hizi BURE KABISA....Kwamaelezo yako tu unaonekana haujielewi, yani KIDUME unalialia mtandaoni jamaa anaTINDUA mwanamke wako?!!!.Sasa tukusaidiaje mtu kama wewe...unahisi unaTOSHA kuwa mwanaume na kiongozi wa familia?!!!....kwakupima uwezo wako kufikiri na maamuzi
mmmnh pole mwambie roho yako imeshumia ajirekebishe otherwise mapenzi yenu hayafiki mbali
Eeeh haya wewe endelea tu kucheka na nyani, utavuna mabua mkuu. Mbona mambo mengine ni ya kitoto jamani, eti unamwambia mtu nakurusha roho ila sitofanya nae mweeee. Hivi ukitaka kumrusha mtu roho unatoa taarifa?? Na kama ulichepuka na akakusamehe why anacheat now kwa kisingizio cha kukulipizia? Endelea tu kurushika roho mkuu hadi akujie na kitumbo au kadi ya mwaliko eishhh