Tanganyikana
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 1,160
- 364
Dah...Tanganyika yangu.
Dah...Tanganyika yangu.
Vip ww hujapata wa kukufananish???
Naomba Mungu nifananishwe na Lowassa,kipenzi cha watu.
Natumai mko poa mnaendelea vyema na weekend zenu popote mlipo kwa upande wangu niko poa
Dhumuni la kuandika thread hii nimetokewa n situation ngeni pengine inaweza kuwa kawaida kwa wenzang...kuna mwanamke mmoja hatufahamian wala hatujawai kutana nimeonans nae week iliopita ktk pitapita zangu akadai nafanana na jamaa yake wa karibu alivyoniambia hivyo nilitabasamu na kuondoka huku nyuma tukibadlishana namba siku ya jana nachatt nae mtandaoni kantumia picha y ninae fanana nae kweli tunaendan kidogo maeneo ya kichwa na pua baada ya muda huyu mwanamke kaanza kutuma message za mahaba muda sio mrefu nita attach screenshot wakuu najiuliza huyu atakua na nia gani nimeshindwa kumwelewa
Msaada pls
Simple, mwambie na yeye anafanana na unayetarajia atakuwa mtu wako wa karibu.
Mfanye chochote upendacho wewe...
achana na swala la kuatach screen short we mwabie kuwa hutaki mapenzi uanataka pesa over
Chinja ila baada ya kufanya utafiti na kuridhika, usitumie utafiti wa TADIP. Unapotosha!
elimu bure
Elimu bure
Elimu bure
Elimu bure
Elimu bure