Nimfanye nini huyu mwanamke???

Nimfanye nini huyu mwanamke???

We badala ya kujiongeza unaleta blah blah hapa. Kama hutaki kumgegeda mwambie tu
Unless you are not man of the year
 
Last edited by a moderator:
Mwisho wadada wataishia kusagana tu sasa
eti ulete screenshot...ili iweje?
 
Chakukusaidia nipe namba zake hata mimi nafanana na wewe
 
Natumai mko poa mnaendelea vyema na weekend zenu popote mlipo kwa upande wangu niko poa
Dhumuni la kuandika thread hii nimetokewa n situation ngeni pengine inaweza kuwa kawaida kwa wenzang...kuna mwanamke mmoja hatufahamian wala hatujawai kutana nimeonans nae week iliopita ktk pitapita zangu akadai nafanana na jamaa yake wa karibu alivyoniambia hivyo nilitabasamu na kuondoka huku nyuma tukibadlishana namba siku ya jana nachatt nae mtandaoni kantumia picha y ninae fanana nae kweli tunaendan kidogo maeneo ya kichwa na pua baada ya muda huyu mwanamke kaanza kutuma message za mahaba muda sio mrefu nita attach screenshot wakuu najiuliza huyu atakua na nia gani nimeshindwa kumwelewa



Msaada pls



@ww umeshasema amekuambia umefanana na jamaa yake...then yy ni wa kike na ww ni wa kiume mpk apo bado tuu unatuuliza tukupe ushaur tuuu....jiongeze bhass@hata hyo screen shot haina haja ya kuiweka apa hatuitaji##
 
hyo screen shot bado tu hujaamua ku atach
 
Natumai mko poa mnaendelea vyema na weekend zenu popote mlipo kwa upande wangu niko poa
Dhumuni la kuandika thread hii nimetokewa n situation ngeni pengine inaweza kuwa kawaida kwa wenzang...kuna mwanamke mmoja hatufahamian wala hatujawai kutana nimeonans nae week iliopita ktk pitapita zangu akadai nafanana na jamaa yake wa karibu alivyoniambia hivyo nilitabasamu na kuondoka huku nyuma tukibadlishana namba siku ya jana nachatt nae mtandaoni kantumia picha y ninae fanana nae kweli tunaendan kidogo maeneo ya kichwa na pua baada ya muda huyu mwanamke kaanza kutuma message za mahaba muda sio mrefu nita attach screenshot wakuu najiuliza huyu atakua na nia gani nimeshindwa kumwelewa



Msaada pls

Naona umeamua kunitangaza
 
Huyu jamaaa sio mzima itakuwa na screenshots za nn sasa
 
Back
Top Bottom