Jibu ni A😂😂Au nikupe story ya hassan😂😂😂😂
Oyaa weee oyaaa weeee🎶🎶🎶
Foshizo shika shika. Weeeeeeeeh🎶🎶🎶
Oyaa wahuni niwape story ya hassan,
Oyaa wahuni niwape story ya hassan,
🎶🎶🎶
Hassan huyu huyu hassan mtoto wa jirani,🎶🎶🎶
Juzi kati kafumwa na mke wa jirani,
Kufa au kubakwa kaulizwa achague nini,🎶🎶🎶
Hassani amepona nauliza amefanywa nini.......🎶🎶🎶🎶🎶
Mbinu ni kukubali kuwa mchepuko na kumchezea mpaka ashike mimba yako alafu unakaza fuvu kumkataa ili akung'ang'anie.My focus ,kabla ya mwaka hujaisha nipate malipo yangu ,nahitaji mbinu tu,kwa sababu hata nikimwitaji atakuja tu
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko
Mbinu ni kukubali kuwa mchepuko na kumchezea mpaka ashike mimba yako alafu unakaza fuvu kumkataa ili akung'ang'anie.
Mademu za watu ndiyo tuna ibaga hivyo kijanja
Wewe ndo umesema ukweliI assure you, she wanted the trash to take itself out, sometimes no energy is needed.
We do say things to niggers to get them stepping out.
And why she texting you?
Mkuu umefanya nichekee Kama chizi hapa ofcni......Hadi hapa ushamaliza kazi, imebakia kupewa zawadi ya ushindi tu...
Nikihesabu 1 mpaka 3 uwe ushapotea hapa umemfuata huyo mchuchu kuyajenga...
Hayanaga muongozo...Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Ajue ukweli ili siku akianza kulia asijesema hatukumwambia.Wewe ndo umesema ukweli
Hunaga mbambamba
Tafadhali amri ya sita na izingatiweUna miaka mingapi?
Hapo yupo tayari akupe mzigo (****) ila wewe unataka mahusiano.
Chapa pita hivi. Mahusiano ya pekee ni wewe na Mungu. Mengine mapitio.