Jamaa yuko na demu zaidi ya mwaka, anamtoa out, demu anamuita "baby" hapo kuna haja gani ya kuendelea kumtongoza demu kama huyo? Huyo ni kushika mkono tuu unachukua chumba lodge iliyo karibu unamaliza mchezo.Uwongo
Acha ushamba Nan akupende dunia ya Sasa km vp mvungie tuWasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .
Umemnunulia nguo vizuriPa1
Pamoja sana, nipe mbinu hata za kumkula kimasihara nijipongeze kwa usumbufu
Kwa maelezo ya sasa hivi nakubaliana na wewe...Jamaa yuko na demu zaidi ya mwaka, anamtoa out, demu anamuita "baby" hapo kuna haja gani ya kuendelea kumtongoza demu kama huyo? Huyo ni kushika mkono tuu unachukua chumba lodge iliyo karibu unamaliza mchezo.
Huyu dogo haelewi hata maana ya kuambiwa awe mchepuko.Anza kwanza kuwa mchepuko,
Mwanamke anapenda mwanaume mmoja tu
Mkuu bado unalamba KAMASI?Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .π
Nilikuwa naonaga watu wanaandika "I don't want peace, I want violence" nilikuwa nachukulia kama meme tu, ila kupitia wewe ndio naamini kumbe zile sio meme tu, mpo watu wa hivyo.Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .π
πππππMalizia kwanza hiko kipisi cha bange kilichobaki.
Come down, focus on techniques ,your honor πWe jamaa ni bure kabisa, sasa hapo unatongoza ya nini tena?
Hata hata akili za kujua ana faidika na maokoto hun
Hata kumtoa out nilitaka kujua pia preference yake ni Nini? Kuweka Uzi wangu hapa nataka nipate mbinu zaidi ,waliosoma Cuba inawahusu hiiπHata hata akili za kujua ana faidika na maokoto huna?
Huyo bado ana akili za kitoto anasikilizia huku na huko , Kubali kuwa mchepuko, hakikisha unamchezea mpaka atakaposhika mimba yako alafu una mkataa ili yeye akung'ang'anieWasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .
My focus ,kabla ya mwaka hujaisha nipate malipo yangu ,nahitaji mbinu tu,kwa sababu hata nikimwitaji atakuja tuπNilikuwa naonaga watu wanaandika "I don't want peace, I want violence" nilikuwa nachukulia kama meme tu, ila kupitia wewe ndio naamini kumbe zile sio meme tu, mpo watu wa hivyo.
Demu ameshakwambia mara kadhaa kuwa ana mtu wake, umefosi weee mpaka anataka akupe nafasi ya kuwa mchepuko ila wewe unataka umuoe. Hujiulizi why hataki kiachana na huyo jamaa yake? Unadhani ukiwaachanisha akaja kwako, mtakuwa na furaha?
Huyo hata ukimuoa, still atakuwa anaenda kwa jamaa kwa kutumia hela ambazo utakuwa unamuachia home kama za matumizi.
Alafu kingine, inabidi wanaume ifike hatua akili zibadilike kidogo. Mwanamke kutokukupiga mizinga sio kipimo Cha upendo hata kidogo. Ni vile mahitaji yake kuna namna yanatimia bila uwepo wako, sasa jiulize nani anayatimiza.
Hapo sawaπHuyo bado ana akili za kitoto anasikilizia huku na huko , Kubali kuwa mchepuko, hakikisha unamchezea mapaka atakaposhika mimba yako alafu una mkataa ili yeye akung'ang'anie
Unafeli wapi mkuu. Kashakwambia kua mchepuko. Unakubali then unamdunga mimba.Wasalamu wapendwa, mabibi na mabwana ! Itifaki imezingatiwa.
Niende Moja kwa moja kwenye mada
Kuna Binti namtongoza Sasa ni mwaka umepita, majibu yake ni kuwa ana mwanamme. Lakini hakosi kunitafuta,Kuna kipindi Huwa namsusa lakini utakuta kanitafuta na kunilaumu kuwa simtafuti naishia kumwambia niko busy. Tunaendlea kuchati namtongoza Tena majibu yaleyale ana mpenzi.
Wiki mbili zilizopita kaanza kuniita baby,baby, namwitikia tunachati tu, X-mas nmemtoa out huyo kaja nkamnunulia nguo, na urembo mbalimbali apendeze .
Jana nmemtongoza Tena, majibu yakawa vilevile, ana mtu labda niwe mchepuko, nkakaushia. Kanipigia mchana kanipa hai, jioni hii pia kanicheki kuwa anaumwa ,kauliza nmekula? na blaa nyingine.
Naombeni mbinu, za kumpata mazima ,nataka nimuoe kabisa,ndo mana simpotezei sana, nisaidieni mbinu zozote Ili nipunguze matumizi ya maneno. Hapigi mizinga hata out nmeamua mwnyewe, hata Masai mwenye zile dawa anicheki inbox .