Nimezinduka naenda UKAWA

Nimezinduka naenda UKAWA

safar njema unawaga CCM A unaenda CCM B
 
Hongera kwa kutoka kwenye Dhambi ya kula mali ya nchi na kuwaacha Watanzania masikini wakiteseka. Umeikimbia laana, KARIBU
 
umefanya uamuzi wa busara mno ! baada ya uchaguzi ile ofisi ndogo lumumba tutaigeuza MACHINGA COMPLEX , ccm haijawahi kumiliki nyumba mji huu , ilipora nyumba za wananchi tu .
 
karibu sana huku tunashangilia na kufurika huko kijanin ni kuzomewa tu
 
Karibu sana Mkuuu,hamasisha ndugu jamaa na marafiki nao wajiunge kwenye huu ukombozi
 
Ulikuwa wapi mkuu karibu sana huko ungebaki mwenyewe
 
Back
Top Bottom