NANGI NYANDA
Member
- Jan 15, 2015
- 39
- 6
Kama hivi ndivyo huyo sio mke kabisa kuhus mtoto unaweza kupanga kwamba akae nae utahudumia au umchukue ukamlee kwenu haipendez kum hadithia mama habari za ndan ya nyumba yenu hasa mabaya haipendezi na kama xfactor alivyosema hii imebase upande mmoja ingekua poa kama upande wa pili nao tungeusikia tungejua ni nn tukushaur zaidi. Pole mkuu ndo maisha hayo..
chagua kati ya haya.
..tafuta cha kukuweka busy na usijishughulishe nae kabisa
... Siku mmoja mtandike makofi na umwambie heshima ikae kati
....mvumilie tu huku ukimbembeleza abadilike na ujifanye zoba haswaa
Hii iko complicated aisee! Lakini fanya kile kitakachoupa moyo wako faraja
Haipo complicated.
Hapo hajaongea nae kama baba,wa familia ana ng'ata ng'ata vidole tu na kumwambia aii wewe mwe.zangu usifanye hivyo.
Kuhusu kumchapa makofi naona ndo itakula kwangu wanawake nowdays wana msaada mno ukishamchapa makofi utaishia polisi tu naona bora nitafute cha kuniweka busy nimpe ruhusa aende zake