Nimezaa na nisiyempenda

Nimezaa na nisiyempenda

CKALU

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
424
Reaction score
306
Wana JF naombeni ushauri wenu najihisi kama nimepoteza.

Mimi ni kijana wa miaka 27 nimetokea kuzaa na msichana nisiyempenda.

Sasa sijui nifanyeje ili niweze kumpenda maana hayupo moyoni kabisa.
 
Ulikuwa unamkaza dry wakat humpendi?!
 
Unajua mimi nilimkatalia kwenda dry lakini yeye ndio ali insist sana na akadai kwamba yuko makini.

Siku zote mwanaume ndio anaamua kutumia au kutotumia cndm sio mwanamke
 
Tafuta umpendaye, uzae nae. Kwani nini tatizo??
 
Una kiranga, kama kuna kitu cha kuwa makini duniani ni unazaa na nani. Bond ya milele hiyo, bora uangushe mbegu ya mnazi ovyo lakini si ya.mtoto.

Usimuoe, mtoto pekee si sababu ya kuoana.
 
Wana jf naombeni ushauri wenu najihisi kama nimepoteza.Mimi ni kijana wa miaka 27 nimetokea kuzaa na msichana nisiyempenda..sasa sijui nifanyeje ili niweze kumpenda maana hayupo moyon kabisa.

Aiseee
 
Una kiranga, kama kuna kitu cha kuwa makini duniani ni unazaa na nani. Bond ya milele hiyo, bora uangushe mbegu ya mnazi ovyo lakini si ya.mtoto.

Usimuoe, mtoto pekee si sababu ya kuoana.

Well said...mm kila nkiangalia mtt wangu i dnt regret anythn cz nlizaa na mtu nayempenda.

Halafu maisha ya sasa huwezi leta mtt duniani bila malengo
 
Kama ukupenda boga hata ua lake huwezi kulipenda,
najua kwa sasa hata huyo mtt humpendi
jitahadi umpenda asije akawa muaji na katiri!
 
mh kweli ukishangaa ya ajali ya mara, utaona ya moro, ulizaaje tena na wee ni mwanaume
 
Back
Top Bottom