Nimezaa na mke wa Mtu

huyo mke wa mtu anacheza na akili yako na wewe unakubali kuzidiwa kete,unauhakika gani kama mtoto ni wako? je kama sikuile alilala na wewe na baada ya hapo akalala na mumewe? sikia KAKA huenda yeye pia hajui mimba ya nani,na wewe jamani hujipendi ivi mtu anakuvulia nguo bila kinga na unafurahia nakuisikilizia utamu unakuwaje mbona sielewi?
 
Ushauri wangu ni kuwa '' ANZA KUTEMBEA NA KY JELLY KUEPUKA MICHUBUKO KUTOKA KWA MASELA ENDAPO SIKU IKIFIKA KULIPIA UPUUZI WAKO''
 
Nenda kwanza katubu mbele ya mungu wako ndio uje upate ushauri hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…