The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
So far hakuna data toka pande zote. Ila waliotakiwa kuja walau na projections hawajafanya hivyo. Advertising haifanywi blindly lazima ina malengo yake. Hatuwezi kupima mafanikio ya RT kama hatujui Inategemea kutusaidia kwa kiasi gani....!!Advertisement ni advertisement and you must keep doing in different modalities, fanyeni tafiti mtueleze hayo mafanikio madogo ya RT ni yapi ili tuwe na criteria zaku critisize RT. Ujinga wa Heche ni hii comparison aliyofanya unless he was joking and I keep hammering on him. Natakaka sana vijana tuwa wekee sera za kuwasaidia kwenye sekta nyingi na siyo mafugo peke yake. Kwa heshima ya Club House na alicho ongea Heche ni shame. Aiponde RT kwa DATA ambazo hana asubiri baada ya hiyo miezi mitano