Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
- Thread starter
- #81
Mimi niko majuu....unyamwezini to be exact....Kanumba mnakula naye vumbi hapo Dar.....moja jumlisha moja ni mbili, siyo kumi na moja!!
Mhhhhh OPP,
Mbona mmefika mbali...Mnaonaje mkihamia offline ili tusije kuwanyima watoto wa wenzetu usingizi?
Naomba tu muyamalize ili tuendelee na kusherehekea "Thanks giving day"! Kuna jamaa akanialika tukafinye bonge la turkey...Tusimpelekee stress!