Nina muda kidogo sijaingia humu nimewamiss washkaji jamani,Nawapenda na Natafuta Mwenza bado...
kuna mdau MMU alikuwa anatamani sana kuoa binti wa kimasai.. sijui aliishia wapi?
Yap masai girl nenda kule love connect, kuna kijana wa kisukuma anataka "takwenya"
karibu tena cc masai girl na uspotee tena.
kijana... kwa hiyo ukaona uniquote mimi... si ndio?
naona unatamani kula nyasi eenh!
kijana... kwa hiyo ukaona uniquote mimi... si ndio?
naona unatamani kula nyasi eenh!
dogo anzisha forum yako ya kisukuma.
ustaarabu hauuzwi
mi msukuma??? mimi??
aisee.. ngoja niandae KJ 325 waje wakuvurumue humo tandale unakoishi kulaleki!
hahahahahaaga usimwagie bwana mwache aende zake atakosa soko bureee
watafika na kupiga salute then wataniomba maelekezo.
hahahaa!! dogo ushaanza kutoa jasho kipindi cha snow... karibu L.A bana!
My face is acid-proof.
was that what you meant?
Long time when i was young used to fly to losangels, nyc, paris and many other places