Nimevumilia nimechoka!!

Napata tabu kuamini wewe ni Mhitimu kutokana na uandishi wako...

Lakini pigania haki yako...Maana Tz inanuka kwa ufisadi.
 
je umeulizia mamlaka .za chuo ....?
 
experience , huwa hairudi(not officially) ila wasifanye kula pesa hiyo, si harari kwao. Kuuliza utawala ni sawa na kumpigia kelele chura. Wanajua jukumu lao ni mkataba tuliwekeana so wanavunja makusudi. Mwisho asante kunirekebisha

eti"HARARI"!!!Mnatuaribia kiswahili bhana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…