K King Mculture Member Joined Aug 31, 2013 Posts 98 Reaction score 15 Jan 2, 2014 Thread starter #21 Tanzania bila uf......... Inawezekana tuanze na hilii la Udom
prs JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 2,642 Reaction score 3,376 Jan 2, 2014 #22 Napata tabu kuamini wewe ni Mhitimu kutokana na uandishi wako... Lakini pigania haki yako...Maana Tz inanuka kwa ufisadi.
Napata tabu kuamini wewe ni Mhitimu kutokana na uandishi wako... Lakini pigania haki yako...Maana Tz inanuka kwa ufisadi.
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,596 Reaction score 18,978 Jan 2, 2014 #23 je umeulizia mamlaka .za chuo ....?
C Cruel mpole JF-Expert Member Joined Jul 3, 2013 Posts 282 Reaction score 106 Jan 2, 2014 #24 King Mculture said: experience , huwa hairudi(not officially) ila wasifanye kula pesa hiyo, si harari kwao. Kuuliza utawala ni sawa na kumpigia kelele chura. Wanajua jukumu lao ni mkataba tuliwekeana so wanavunja makusudi. Mwisho asante kunirekebisha Click to expand... eti"HARARI"!!!Mnatuaribia kiswahili bhana.
King Mculture said: experience , huwa hairudi(not officially) ila wasifanye kula pesa hiyo, si harari kwao. Kuuliza utawala ni sawa na kumpigia kelele chura. Wanajua jukumu lao ni mkataba tuliwekeana so wanavunja makusudi. Mwisho asante kunirekebisha Click to expand... eti"HARARI"!!!Mnatuaribia kiswahili bhana.