Mchinga Sound hii
Nielewe nilichokuomba.Ni nzuri mkuu, ina specifications za maana kabisa mkuu. Mimi hata kwa 2.5m nakuachia, kikubwa tugawane hasara, nitajua ni biashara ipi nitafanya ili kurudisha heshima kwenye ukoo japokuwa mpaka sasa hakuna anayejua hii issue
dogo mjinga sana weweNaombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini, bora hata ningefungua biashara.
laki iliyobaki nunua kifurushi yote hapo itakua umeshamaliza Mchezo mkuuHabari wakuu,
Hapa nilipo nimejaa kitete siyo poa. Yaani hata sielewi, ingawa maamuzi niliyoyachukua nilishauriana na moyo wangu nikaridhika, lakini still nafsi inanisuta.
Nimeuza kiwanja changu cha urithi nilichopewa kwenye mgao wa familia, tena kiwanja kilicho barabarani kabisa. Nilitakiwa kukiuza kwa Tsh. Mil 18 (atleast), lakini nimejikuta nakiuza kwa milioni tano ili ninunue simu ya ndoto yangu kabla haijatoka kwenye chati.
Tayari nishafanya yangu. Nimenunua kitu cha Samsung Galaxy Z Fold 4 kwa Mil. 4 na laki 9. Hapa mfukoni nimebaki na laki tu. Kiwanja kimeenda. Naombeni mnipe moyo ili nisiugue presha mwenzenu, nafsi inatapatapa maskini, bora hata ningefungua biashara.
Nilivutiwa na hii simu kwa sababu imekaa kama kitabu, nikiifungua inaungana vioo viwili inakuwa kama ka TV kadogo, kamera safi na hadhi ya kimataifa.
Moyo umejaa kitete, nifanyeje? View attachment 2428948
jipige kifua Mara tatu sema mimi ni............... wadau watamaliziaMkuu, sema walau neno moja la kunifariji. Yaani nahisi kufa kufa mkuu
Msaada ilipaswa uombe kabla hujauza uwanja. Isitoshe kuuza kitu chochote cha urithi wakati huna kitu ni laana,wewe unaweza kujiuza hata mwenyewe.Naomba msaada wako wa kimawazo mkuu. Maji yameshamwagika, hayazoleki tena Muacheni kunilaumu tupange tujue tunafanyeje wakuu
Mkuu, kwa mfano nikiirudisha wakaikubali, hakuna namna ninaweza fanya ili kubatili mauzo ya kiwanj
Dukani hawataikubali maana nao walikuwa wanangoja mzembe ajilete wampige, na Mwenye kiwanja nae hatochukua maana anajua kakupiga, dukani watataka wakurudishie milion 2Mkuu, kwa mfano nikiirudisha wakaikubali, hakuna namna ninaweza fanya ili kubatili mauzo ya kiwanja?
Samsung hawana duka hapa tanzania, hao ni wafanya biashara tu wanakudanganya ni mawakala, ila samsung haiwatambui, kwa kifupi umepigika sana hapoAyaaaaaaa Dah, kwani mkuu hawana kanuni ya kurudisha labda? Maake nilinunulia dukani kwao kabisa Kariakoo
Ila unaweza ukaiuza simu mkuu then ukapata hela tena.Dah, mkuu. Sawa nilifanya kwa lengo la kuufurahisha moyo wangu, lakini ndo hivyo nafsi yangu inanisuta
GENTAMYCIME huwaita mapopoma watu kama hawa 😂😂
Samsung zilivyo mbovu ikizingua kidogo tu hela yake imeenda na akimkumbuka marehem aliemwachia kiwanja cha urithi basi roho itamuuma zaidi 😂😂😂😂
Fanya urudishe dukani Mkuu waeleze kuwa umepata shida kama jamaa ni muelewa na simu bado ipo kwenye ubora wake anaweza kukupa hela.Mkuu, sema walau neno moja la kunifariji. Yaani nahisi kufa kufa mkuu