Nimeulizwa na mdada nina michepuko mingapi?

Nimeulizwa na mdada nina michepuko mingapi?

Sasa unajiuliza nini hapo, mjibu alafu msikilize atasemaje,
 
Wasalaaaam,kwa kweli nimejikuta katika wakati mgumu baada ya rafiki yangu wa muda kidogo kuniuliza idadi ya michepuko niliyonayo.Mpaka sasa bado nalitafakari swali hili mpaka nahisi kuna kitu kimejificha.Naombeni mnisaidie nimjibu vipi ili nisiharibu urafiki wetu.
Mwambie wewe bikra wa kiume bdo
 
Wasalaaaam,kwa kweli nimejikuta katika wakati mgumu baada ya rafiki yangu wa muda kidogo kuniuliza idadi ya michepuko niliyonayo.Mpaka sasa bado nalitafakari swali hili mpaka nahisi kuna kitu kimejificha.Naombeni mnisaidie nimjibu vipi ili nisiharibu urafiki wetu.
Wewe unaitwa mkwala, unashindwaje kumpiga mkwala asikujaribu. Hajui kama wewe unao tisa na yeye ni wa kumi
 
Back
Top Bottom