Nimetumiwa SMS kuhudhuria interview Muhimbili

Nimetumiwa SMS kuhudhuria interview Muhimbili

mundu mkongw

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2015
Posts
202
Reaction score
88
leo nimetumiwa sms kuitwa kwenye usaili muhimbili kada ya assistant supplies officers ila sikumbuki niliomba lini kwani nimeshaomba mara nyingi muhimbili.nakumbuka mara ya mwisho niliomba moi ila sms inaonyesha ni muhimbili
 
Mimi pia nilitumiwa na jana ijumaa tumefanya interview kwa koz Ya assistance Nursing officer,,angalia tu lini msg imeandikwa uende ni kwel huwa wanatuma tu msg
 
Simple tu angalia tangazo la kazi la moi na la muhimbili mwaka huu kama hio post ipo wapi,ila hata muhimbili walitangaza hio post mwaka huu cjui ilikua mwez wa ngap sikumbuki,ukigoogle yatakuja.all the best.
 
Simple tu angalia tangazo la kazi la moi na la muhimbili mwaka huu kama hio post ipo wapi,ila hata muhimbili walitangaza hio post mwaka huu cjui ilikua mwez wa ngap sikumbuki,ukigoogle yatakuja.all the best.

Thanx kiongozi
 
Mimi pia nilitumiwa na jana ijumaa tumefanya interview kwa koz Ya assistance Nursing officer,,angalia tu lini msg imeandikwa uende ni kwel huwa wanatuma tu msg

kiongozi mlifanya written au oral?
 
leo nimetumiwa sms kuitwa kwenye usaili muhimbili kada ya assistant supplies officers ila sikumbuki niliomba lini kwani nimeshaomba mara nyingi muhimbili.nakumbuka mara ya mwisho niliomba moi ila sms inaonyesha ni muhimbili

Mkuu Moi walishanya interview mwezi uliopita, labda hiyo yako itakuwa ni Muhimbili kweli#
 
Back
Top Bottom