Nimetokea kuchukia ndoa

Muoneshe hiyo video kaka yako alafu ataamua mwenyewe aendelee na mkewe au amuache
Japo pia kama siiamini sana story yako naona kama umetunga hivi
 
Uko sahihi kabisa mkuu
 
mkuu umekuwa mshauri wa ndoa ila inaelekea kunabaadhi ya mambo hujapata kuyafahamu kwa kina hasa hayo yahusuyo kitanda,
Mkuu sishauri mtu kuchepuka hata siku moja ila kunasababu nyingi sana ambazo zifanyazo watu kutoka nje ya ndoa bahati mbaya iliyoje nyingi zinazuilika na kuepukika, unajua mtu akiwa hafikishwi hata kama anapewa kilakitu huwa haisaidii maana unakuta huyo muuza genge anamfikisha japo hampi kitu
Pia mtu akiwa anapata karibu vyote atakavyo ndivyo hamu ya mapenzi inashika hatamu tofauti na mtu mwenye msongo wa kukosa mambo muhimu ya maisha na asiye na uhakika wa tonge lake.

Kikubwa wanandoa wajifunze kuongea pamoja tena mambo ya chumbani wazungumze kwa uwazi pasipo kuoneana aibu, yani nakuhitaji leo nikitoka kazini kwahiyo jiandae mke/mme wangu, pia ka mtu hajafika aseme pasipo kuogopa ataonekanaje, pia watu wajenge afya zao ziweze kushiriki tendo kwa ufasaha pasipo tabu na kuchoka mapema pasipo kumtosheleza mwenza, watu wakiwa na utamaduni huu itapunguza na kumaliza kabisa, matatizo ya kiafya siwezi yazungumzia sana maana yale yanakuwa nje ya uwezo wa mtu.

Tuthamini vitanda vyetu na tuwe na mapenzi kwa wenza wetu maana hata ikitokea unatatizo la kiafya ukiwa karibu na mwenza wako hata hamu ya kutoka nnje inapotea.
 
Yaani unaandika upuuzi ule ule tu tangu kwenye comment yako ya kwanza, halafu unasema sijakuelewa kuna kipi cha kushundwa kuelewa hapa kwenye hizi bandiko zako? Si unazunguka pale pale tu eti mwanamke kuchepuka most likely chanzo ni mwanaume na blah... blah.

Mimi nimekujibu vizuri kabisa kama wanawake mnaona dawa ya mwanaume anayechepuka dawa ni kuchepuka na wewe basi hamfai kuolewa msikimbilie ndoa.. Endeleeni kuchakazwa tu na vijana na kulea watoto kama single parents basi.

Sasa wewe huko hapa unashupaza shingo kutetea uchepukaji wa wanawake tena kwa back up argument za kipuuuuuziiii!! Ambazo hata mtoto mdogo hazimuingii akilini.

Zipo njia sahihi za kukabiliana na mume mchepukaji lakini sio hiyo unayotetea hapa! Halafu kwanza mwanamke akishachepuka na yeye ndio inamfanya mume aache kuchepuka au?

Hivi unafahamu kwanza hata athari za uchepukaji baina ya mwanaume na mwanamke hazilingani hata kidogo?

Unajua ni kwanini jamii za kale zilizokuwa na utawala wa kifalme, mfalme alipochepuka hakuchukuliwa hatua yoyote ile lakini malikia alipochepuka alihukumiwa adhabu ya kifo mara moja?

Dada haya mawazo yako ni ya kitupa chooni
 
Lizarazu ni mgumu sana kuelewa...

Sitetei wachepukaji ila wengi wanachepuka kwa sababu hiyo, siyo kila mwanamke lazima achepuke sababu mume wake anachepuka!

Naona wewe ndiyo unatetea sasa uchepukaji kwa wanaume!

Siyo wewe uchepuke mwenzio akichepuka kosa! Kama huwezi kuheshimu ndoa yako kwa uchepukaji usioe full stop!
 
vipi we umeoa, na kwanini jwe msuluhishi wao, na stori za eti wako barazani wakifanya yao we ulienda kufuata nn huko mida hiyo....... ni maswahi tu kikulacho ki nguoni
 
Ni kosa kubwa sana kwa mwanamke aliyeolewa kuchepuka, kwa jamii iliyostaharabika adhabu yake ni kifo.
 
umetukanwa wapi....we pumbafu sana...katafute kazi ya kufanya......mwanaume kamili hana tabia kama zako....eti na picha nimepiga..kapigie punyeto....iblisi wewe...wachana na ndoa za watu....
Mkuu mbona umekuwa mkali sana ndo wewe nini!
 
Coaches don't play,thats how i answer my friends when they ask me why I give relationship advice but am single.
 
Coaches don't play,thats how i answer my friends when they ask me why I give relationship advice but am single.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…