Nimetoka kupima Ngoma

Nimetoka kupima Ngoma

Hongera..uende tena baada ya miezi mitatu
Amna nataka ninunue lile boksi la vipimo kabisa.

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Kwa nini? Hutaki ushauri nasaa
Kutakuwa hamna haja ya huo ushauri kama kabla sijaingia kwenye mahusino na mtu nampima mwenyewe kwanza

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Kama unahiitaj nambie mkuu..

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Nilikuwa nawaza ungekuwa karibu nikupatie bure pamoja na box la condom 100 pc
 
Tayari umeshaukwaa aisee... Fata masharti tu maisha ni yale yale

Wa sukumaland
 
Nilikuwa nawaza ungekuwa karibu nikupatie bure pamoja na box la condom 100 pc
Hahahahaaa...basi sawa.

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Tayari umeshaukwaa aisee... Fata masharti tu maisha ni yale yale

Wa sukumaland
Masharti ya nini tena mkuu..unajuaje status yangu.

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Kutakuwa hamna haja ya huo ushauri kama kabla sijaingia kwenye mahusino na mtu nampima mwenyewe kwanza

However you may not start conversation with the following recipient;Tairus
Baada ya miezi mitatu ni "confirmation" kama unao au huna..sasa ukijipima mwenyewe ukajikuta +ve usije kuchanganyikiwa
 
Back
Top Bottom