Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,994
KONDA: Denti achieni viti sogeeni nyuma, halafu madenti wa siku hizi usharobaro tu mnaishia kupata divishen tano, enzi zetu mtu ukitoka shule unakuwa na kitu kichwani
DENTI: Acha matusi tunasoma na tunaelewa sana
KONDA:Kama unaelewa nambie 3x3 ngapi?
DENTI: 33
KONDA: Huna lolote umebahatisha au atakuwa kakutajia mwenzio huko nyuma
DENTI: Acha matusi tunasoma na tunaelewa sana
KONDA:Kama unaelewa nambie 3x3 ngapi?
DENTI: 33
KONDA: Huna lolote umebahatisha au atakuwa kakutajia mwenzio huko nyuma