katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Kuna mtu amenicall amesema nitaona nitajuta kumjua sasa simjui ninani.
Hapa naogopa tena kasema i am watching you.
Hapa naogopa tena kasema i am watching you.
Wee ulitoa namba za nini na ni nani alikuambia ule vyake alafu hujamalizana nae kwa alichotakaKuna mtu amenicall amesema nitaona nitajuta kumjua sasa simjui ninani.
Hapa naogopa tena kasema i am watching you.
Nashukuru walai nitatumaa.Nipe Namba yake kama utaweza ili nikukamatie huyo Digidigi.
Nimemuambia kabadili namba tena.Mwambie na wewe utaona
Kweli 4 mmoja wapo niwewe unayeongozaKweli katika watanzania 4 mmoja ni chizi
😂😂😂😂😂😂Katoto kazuri tema nimchape..
😃😃😃😃Hahahaaa!! Mahakama ya jf.
Sasa nimekukosea nini jamaniNi mimi mkuu.Kwaiyo umekuja kuni tangaza uku..utaonaa adhabu ina ongezekaaView attachment 960682