Hatua nzuro kwa kuanzia ila inabidi uiboreshe kama fetures za kuendesha gari kwa kutumia simu motion ya simu, pia unapotaka ku exit basi kuwe na option ya kuuliza kama ipo sure unataka kuexit maana mtu aweza exit bahati mbaya.
Endelea zaidi hadi uinoreshe zaidi 3D nk
Heko kwako!!
App gani nyingine umeshafany?