Nimetapeliwa na mwanamke mtandaoni

Weka hapa kaka kwa manufaa ya wengi/ umma
Ahahahah..haya masuala nilishaachana nayo. Nilifanya immediatelly after breakup ila nikajigundua ia not my thing japo nilikua nayafanya kwa ufanisi ๐Ÿ˜‚.
Nikaamua kuachana nayo baada ya kugundua kwangua sex sio suala la kuchomeka na kuchomeka au kuwa tu na mwanamke but kwangu nahitaji sana deep connection kabla ya sex.
 
Weka mbinu ili kijana asiliwe pesa zake ovyo ovyooo
 
Naona uzi wa uzinzi upo kasi sana.... comments za kutosha. Kwa upande wangu nakushauri acha kupitia mlolongo mrefu ukibanwa na haja.. nenda sehemu wanapouza ununue. Cha muhimu tumia kinga.
 
Wapo ambao huduma ya room ni juu yao, utundu wote unapata kwa bei ya chini.

Hayo mambo ya kulipia lodge kabla hajafika tunayafanya kwa pisi zetu tu ambazo ni 98% lazima aje.

Hizo nyingine mnacheza mchezo wa kutoaminiana mpaka mnakutana.
 
Mwanamke usimuamini kama jamaa mwenye geto hili
Your browser is not able to display this video.
 
Bila shaka unamkumbuka shemeji yetu na ndio hivyo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ