Nina omba msamaha kwa uongozi wa CHAPUTA kwa hili kosa. Jana nimeingia kwenye app ya tagged nikapata manzi na tukaelewana bei, Sasa leo nikamcheki aje kasema nimtumie nauli, nikatuma akasema anakuja mimi nikaenda lipia lodge nimesubiri nikaona kimya nikamvutia waya.
Drama zikaanza mara ooh simu yangu inazima ya mkopo nitumie hela nilipie ila niwasiliane na ww nikiwa nakuja, machale yakagonga nikamwambia mpe boda yoyote namba angu anicall atakuleta nilipo manzi akachimba.
Dadeki lodge nimelipia pesa imeenda bure. Nilichojifunza wakuu UZINZI NI GHARAMA SANA NA TUJIFUNZE KU CONTROL HIKI KICHWA CHA CHINI.
Drama zikaanza mara ooh simu yangu inazima ya mkopo nitumie hela nilipie ila niwasiliane na ww nikiwa nakuja, machale yakagonga nikamwambia mpe boda yoyote namba angu anicall atakuleta nilipo manzi akachimba.
Dadeki lodge nimelipia pesa imeenda bure. Nilichojifunza wakuu UZINZI NI GHARAMA SANA NA TUJIFUNZE KU CONTROL HIKI KICHWA CHA CHINI.